Jalada ya Nyuma
Namna gani unaweza kuonyesha kama unamupenda kabisa Mungu?
Ni wakati gani unaweza kuitegemea zamiri yako?
Watu unaochagua kuwa marafiki wanafunua nini juu yako?
Mungu anakuona kuwa mutu wa namna gani unapotii mamlaka ao usipotii?
Sababu gani kutii sheria za Mungu kuhusu mwenendo ni kwa faida yako?
Unaweza kufanya nini ili ufurahie kazi yako?
Ni nini inayoweza kukusaidia ili uwe na tamaa ya kumutii kabisa Mungu?