Andika Majibu ya Maulizo Haya:
Sababu gani ni jambo la maana kuwa na imani katika hali zote? (Mk. 11:22)
Tunapata faida gani wakati tunafikiri sana juu ya maneno ya mufano yenye kuzungumuzia Yehova? (Zab. 28:7; Lu. 11:11-13; Kum. 32:4; Zab. 23:1)
Namna gani tunaweza kutia nguvu imani yetu? (Mk. 9:24)
‘Zambi ambayo inatutatanisha kwa urahisi’ ni nini, na namna gani tunaweza kuiepuka? (Ebr. 12:1)
Ni nini inatuhakikishia kwamba wale wenye kuwa na imani ya kweli watapata zawadi? (Ebr. 11:6)