Kujitoa kwa Yehova
Ni sababu gani yenye kufaa yenye inapaswa kutuchochea tujitoe kwa Yehova?
Kum 6:5; Lu 10:25-28; Ufu 4:11
Ona pia Kut 20:5
Kama tunapenda kumutumikia Mungu, tunapaswa kuwa na mawazo gani juu ya Biblia?
Zb 119:105; 1Te 2:13; 2Ti 3:16
Ona pia Yoh 17:17; Ebr 4:12
Tunapaswa kutambua nini kuhusu njia yenye Yehova alitumia juu ya kututosha mu zambi?
Kutubu juu ya mambo ya mubaya yenye tulifanyaka kunatia ndani nini?
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Lu 19:1-10—Zakayo, mukubwa wa wakusanya-kodi, anatubu juu ya matendo yake ya kunyanganya watu vitu na anawarudishia vitu vyenye aliwanyanganya
1Ti 1:12-16—Mutume Paulo anafasiria namna aliachana na maisha ya zambi na namna alifikia kusamehewa kupitia rehema ya Mungu na ya Kristo
Zaidi ya kuacha mwenendo mubaya, tunapaswa pia kufanya nini?
Ni kanuni gani zenye tunapaswa kutii ili kumutumikia Mungu mu njia yenye kufaa?
1Ko 6:9-11; Kol 3:5-9; 1Pe 1:14, 15; 4:3, 4
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
1Ko 5:1-13—Mutume Paulo anaambia Wakristo wa Korinto watoshe kati yao mutu mwenye alifanya zambi kubwa ya uasherati
2Ti 2:16-19—Mutume Paulo anatia Timoteo moyo akatale kabisa maneno ya waasi-imani yenye inaenea sawa vile kidonda yenye kuoza
Watumishi wa Mungu wanapaswa kuwa upande gani kuhusu mambo ya hii ulimwengu?
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Yoh 6:10-15—Kisha Yesu kukulisha kundi kubwa ya watu kupitia muujiza, watu wanapenda kumufanya mufalme, lakini Yesu anatoka na kubaacha
Yoh 18:33-36—Yesu anaonyesha kama Ufalme wake hauusiane na mambo ya politike ya hii dunia
Namna gani roho takatifu inatusaidia kumutumikia Mungu?
Ona pia Mdo 20:28; Efe 5:18
Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:
Mdo 15:28, 29—Baraza yenye kuongoza mu Yerusalemu inaongozwa na roho takatifu juu ya kukamata uamuzi kuhusu kutahiriwa
Ni mu njia gani utumishi wetu unafanana na wa Yesu?
Juu ya nini Wakristo wenye kujitoa wanapaswa kubatizwa?
Mt 28:19, 20; Mdo 2:40, 41; 8:12; 1Pe 3:21
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mt 3:13-17—Yesu anajitoa mwenyewe ili kufanya mapenzi ya Baba yake, anaonyesha ile kwa kubatizwa
Mdo 8:26-39—Ofisa Mwetiopia mwenye tayari ni Muyahudi mugeuzwa-imani iko tayari kubatizwa kisha kujifunza kweli kuhusu Yesu Kristo