Kuhubiri Habari Njema
Juu ya nini Wakristo wanakuwaka natangaza imani yao mbele ya watu wote?
Yesu alituwekea mufano gani kuhusu kazi ya kuhubiri?
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Lu 4:42-44—Yesu anasema kama alitumwa ku dunia juu ya kuhubiri
Yoh 4:31-34—Yesu anasema kama kazi ya kuhubiri iko sawa vile chakula kwake
Ni wale wenye wako na madaraka mu kutaniko njo tu wanapaswa kuhubiri habari njema?
Zb 68:11; 148:12, 13; Mdo 2:17, 18
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
2Fa 5:1-4, 13, 14, 17—Kijana mwanamuke Mwisraeli anaambia bibi ya Naamani kuhusu Elisha, nabii wa Yehova
Mt 21:15, 16—Yesu anapinga mawazo ya wakubwa wa makuhani na waandishi wenye wanakatala vijana wanaume wamusifu Yesu mu hekalu
Waangalizi Wakristo wanakuwaka na daraka gani kuhusu kuhubiri habari njema na kufundisha wengine?
Namna gani Yehova na Yesu wanatusaidiaka tuhubiri?
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mdo 16:12, 22-24; 1Te 2:1, 2—Hata kama Paulo na wenzake wanatendewa mubaya, kwa musaada wa Mungu wanaendelea kuhubiri habari njema bila kuogopa
2Ko 12:7-9—Mutume Paulo, muhubiri mwenye hachokake, anateseka juu ya “mwiba katika mwili,” pengine ilikuwa tatizo fulani ya afya; lakini Yehova anamupatia nguvu ya kuendelea kuhubiri
Nini ao nani njo anapatiaka Mukristo mamlaka ya kuhubiri?
Tunajua namna gani kama Yehova anapenda tuzoeze wengine mu kazi ya kuhubiri na ya kufundisha?
Mk 1:17; Lu 8:1; Efe 4:11, 12
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Isa 50:4, 5—Mbele akuye ku dunia, Yesu alizoezwa na Yehova
Mt 10:5-7—Wakati alikuwa ku dunia, kwa uvumilivu, Yesu alizoeza wanafunzi wake mu kazi ya kuhubiri
Tunapaswa kuona namna gani daraka yenye tuko nayo ya kuhubiri habari njema?
Tunajisikiaka namna gani wakati tunahubiri habari njema?
Tunazungumuziaka mambo gani wakati tunahubiri habari njema?
Juu ya nini Wakristo wanaonyeshaka wazi mafundisho ya uongo?
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mk 12:18-27—Yesu anafikiri na Wasadukayo kwa kutumia Maandiko juu ya kuwaonyesha kama mawazo yao kuhusu ufufuo haiko sawa
Mdo 17:16, 17, 29, 30—Mutume Paulo anafikiri na watu wa Atene juu ya kuwaonyesha kama kuabudu sanamu ni kosa
Kazi ya kuhubiri inafanyiwaka namna gani?
Juu ya nini tunahubiriaka mahali pa watu wengi?
Yoh 18:20; Mdo 16:13; 17:17; 18:4
Ona pia Mez 1:20, 21
Nini njo inaonyesha kama inaomba tukuwe na uvumilivu na bidii mu kazi ya kuhubiri?
Tunapataka matokeo gani ya muzuri mu kazi ya kuhubiri?
Juu ya nini ni muzuri kuhubiri kila mara wakati tunapata nafasi?
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Yoh 4:6, 7, 13, 14—Hata kama amechoka, Yesu anahubiria mwanamuke Musamaria habari njema ku kisima
Flp 1:12-14—Hata kama iko mwenye kufungwa, mutume Paulo anatumia nafasi zenye iko nazo juu ya kuhubiri na kutia wengine moyo
Tunapaswa kutazamia kama watu wote watasikiliza ujumbe wetu?
Yoh 10:25, 26; 15:18-20; Mdo 28:23-28
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Yer 7:23-26—Kupitia Yeremia, Yehova anafasiria namna mara mingi watu wake walikosa kusikiliza manabii
Mt 13:10-16—Yesu anasema kama sawa vile mu siku za Isaya, watu wengi watasikiliza ujumbe lakini hawatabadilika
Juu ya nini hatushangae kuona kama watu wengi hawatusikilize juu wako na mambo mingi ya kufanya?
Nini njo inaonyesha kama watu fulani watasikiliza na kubadilika ku mwanzo lakini kisha hawataendelea?
Ni mifano gani inatusaidia tusishangae wakati watu wanatupinga mu mahubiri?
Tunatendaka namna gani wakati watu wanatupinga mu mahubiri?
Juu ya nini tunapaswa kuwa hakika kama watu fulani watakubali habari njema?
Wahubiri wa habari njema wako na daraka gani nzito mbele ya Mungu?
Juu ya nini tunapaswa kuhubiria watu wa dini zote, rangi zote, na inchi zote?
Mt 24:14; Mdo 10:34, 35; Ufu 14:6
Ona pia Zb 49:1, 2