Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 32-33
  • Kujifurahisha

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kujifurahisha
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 32-33

Kujifurahisha

Ni mubaya kwa Wakristo kujifurahisha wakati fulani?

Muh 2:24; 3:​12, 13; 4:6

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mk 6:​31, 32—Hata kama Yesu iko na mambo mingi ya kufanya, anaomba yeye na wanafunzi wake waende fasi kwenye wanaweza kupumuzika

Ni kanuni gani zinaweza kutusaidia tusiache mambo ya kujifurahisha itukoseshe wakati ya kufanya mambo ya kiroho?

Mt 6:​21, 33; Efe 5:​15-17; Flp 1:​9, 10; 1Ti 4:8

Ona pia Mez 21:17; Muh 7:4

Juu ya nini hatupaswe kujifurahisha na mambo yenye inachochea mwenendo mubaya?

1Ko 6:18; Efe 5:​3, 4; Kol 3:5; Yak 1:​14, 15

Juu ya nini hatupaswe kujifurahisha na mambo yenye inachochea roho ya mashindano?

Muh 4:4; Gal 5:26; 6:4

Juu ya nini hatupaswe kujifurahisha na mambo yenye inachochea jeuri?

Zb 11:5; Mez 3:31; 6:​16, 17

Namna gani Wakristo wanaweza kujua mambo ya kuchekesha yenye kufaa?

Mez 15:21; 26:​18, 19; Efe 5:​3, 4

Juu ya nini tunapaswa kufikiria namna wengine watajisikia wakati tunakamata maamuzi juu ya mambo ya kujifurahisha?

Ro 14:​13, 21; 1Ko 8:13; 10:24

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine