Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w15 1/10 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Jitihada za Kumaliza Umaskini
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Habari Njema Kwa Maskini
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Umasikini
    Amuka!—2015
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 1/10 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Inawezekana kuwa na dunia yenye haina umasikini?

Mwanamuke mumoja anakamata sahani yenye haina kitu na anakumbatia mutoto mudogo mwanamuke

NamnaA GaniNI Mungu AtaletaDdunia Yenye HainaA Umasikini?—MATHAYO 6:9, 10

Umasikini sana unafanya mamilioni ya watu wakufe kwa sababu ya kula mubaya na kwa sababu ya magonjwa. Hata kama sehemu fulani za dunia ziko tajiri, watu wengi wangali wanaishi katika umasikini sana. Biblia inaonyesha kama tatizo la umasikini lilianza zamani na linaendelea.—Soma Yohana 12:8.

Ili kumaliza umasikini, inaomba serikali yenye itatawala dunia yote. Serikali kama hiyo inapaswa kuwa na uwezo wa kugawanya mali ya dunia kwa haki na kumaliza vita, kwa maana vita ndio sababu kubwa yenye kuleta umasikini. Mungu ameahidi kuleta serikali hiyo yenye itatawala dunia yote.—Soma Danieli 2:44.

Ni nani anaweza kumaliza umasikini?

Mungu amechagua Mwana wake, Yesu, ili atawale wanadamu wote. (Zaburi 2:4-8) Yesu ataokoa masikini na atamaliza jeuri na tabia ya kuonea wengine.—Soma Zaburi 72:8, 12-14.

Biblia ilitabiri kuwa Yesu ni ‘Mukuu wa Amani,’ ataleta amani na usalama katika dunia yote. Wakati huo, watu wote katika dunia wataishi katika nyumba zao wenyewe, watafurahia kazi ya muzuri, na watakuwa na chakula kingi.—Soma Isaya 9:6, 7; 65:21-23.

SOMA MAJIBU YA MAULIZO MENGINE JUU YA HABARI ZA BIBLIA KWENYE INTERNETE

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 8 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza pia kupata kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine