Habari Zenye Kuwa Ndani
3 Neno Lenye Lilikuwa na Maana Kubwa!
JUMA LA TAREHE 26/12/2016–1/01/2017
4 “Muendelee Kutiana Moyo Kila Siku”
Yehova Mungu na Yesu Kristo wanaonyesha mufano muzuri zaidi wa kutia wengine moyo. Mutume Paulo aliona pia kuwa ni jambo la maana sana kutia wengine moyo. Kufuata mifano yao kutatusaidia kufanya nyumba yetu na Jumba letu la Ufalme kuwa mahali penye upendo na pa kutiana moyo.
JUMA LA TAREHE 2-8/01/2017
9 Tumepangwa Kupatana na Neno la Mungu
JUMA LA TAREHE 9-15/01/2017
14 Unaheshimia Kabisa Neno la Yehova?
Habari hizi zinajibia maulizo haya: Sababu gani watu wenye kuabudu Yehova wanapaswa kuwa wenye kupangwa muzuri? Namna gani tunaweza kuwa wenye kupangwa kupatana na Neno la Mungu? Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunategemeza kwa ushikamanifu tengenezo la Yehova?
JUMA LA TAREHE 16-22/01/2017
21 Waliitwa Kutoka Katika Giza
JUMA LA TAREHE 23-29/01/2017
26 Waliachiliwa Huru Kutoka Katika Dini ya Uongo
Habari hizi zinaeleza ni wakati gani watu wa Mungu waliingia katika utumwa wa Babiloni na namna gani Wakristo watiwa-mafuta walijikaza sana ili kuelewa muzuri Neno la Yehova mwisho-mwisho mwa miaka ya 1800. Pia, tutaona namna Wanafunzi wa Biblia walijitenga kabisa na Babiloni Mukubwa, na tutaona ni wakati gani walitoka katika utumwa wa Babiloni.