Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 29/05–4/06/2017
3 ‘Kile Unachoweka Naziri, Timiza’
Umefanya naziri ngapi kwa Yehova? Unaona kuwa unajikaza kabisa kutimiza naziri zako? Tuseme nini juu ya naziri yako ya kujitoa kwa Yehova ao ya ndoa? Katika habari hii, tutajifunza kupitia mufano muzuri sana wa Yeftha na Hana, wenye walitimiza naziri zao. Hilo linaweza kutusaidia kutimiza naziri zetu kwa Mungu.
JUMA LA TAREHE 5-11/06/2017
9 Ni Mambo Gani Hayatakuwa Tena Wakati Ufalme wa Mungu Utakuja?
Mara nyingi tunafikiria mambo yenye Yehova atatufanyia katika Paradiso. Lakini katika habari hii, tutazungumuzia matatizo ine yenye Yehova ataondoa ili kufanya dunia ikuwe na amani na furaha. Habari hii itatia nguvu imani yetu na itatia nguvu azimio letu la kuendelea kuvumilia.
14 Habari Juu ya Maisha ya Watu— Niliazimia Kuwa Askari wa Kristo
JUMA LA TAREHE 12-18/06/2017
18 ‘Muamuzi wa Dunia Yote’ Anafanya Sikuzote Mambo Yenye Kuwa Sawa
JUMA LA TAREHE 19-25/06/2017
23 Utafuata Kanuni za Yehova juu ya Haki?
Wakati tunafikiri kama tumetendewa bila haki ao tumeona mutu mwengine ametendewa hivyo, imani, unyenyekevu, na ushikamanifu wetu vinaweza kujaribiwa. Habari hizi zinazungumuzia mifano tatu yenye kuwa katika Biblia yenye itatusaidia kufuata kanuni za Yehova juu ya haki.
JUMA LA TAREHE 26/06–2/07/2017
28 Roho Yako ya Kujitolea Imuletee Yehova Sifa!
Hata kama Yehova hana lazima ya kitu kutoka kwetu, anafurahi wakati anaona namna tunajikaza ili kuunga mukono utawala wake. Katika sura ya 4 na ya 5 ya kitabu cha Waamuzi, tutajifunza kama Yehova anapendezwa na roho yetu ya kuwa tayari kumutumikia na kufuata muongozo wake.