Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 23-29/10/2017
Yehova ni mufano muzuri zaidi wa kuonyesha sifa ya kujizuia. Namna gani wanadamu wanaweza kumuiga ili kuonyesha sifa hiyo? Na ni hatua gani zenye kufaa zenye unaweza kufanya ili ukomalishe sifa ya kujizuia?
JUMA LA TAREHE 30/10–5/11/2017
Kuonyesha sifa ya huruma, maana yake nini? Yehova na Yesu walionyesha mufano mukamilifu wa kuonyesha sifa hiyo. Ni katika njia gani zenye kufaa tunaweza kuiga mufano wao? Na tunaweza kupata matokeo gani ya muzuri ikiwa tunafanya hivyo?
13 Habari Juu ya Maisha ya Watu—Nimebarikiwa kwa Kutumika Pamoja na Wanaume Wenye Kukomaa Kiroho
JUMA LA TAREHE 6-12/11/2017
18 “Neno la Mungu Wetu Litadumu” Milele
JUMA LA TAREHE 13-19/11/2017
23 ‘Neno la Mungu . . . Liko na Nguvu’
Sababu gani ni jambo la maana kuwa Biblia inaendelea kupatikana katika luga nyingi zaidi na zaidi? Na namna gani tunaweza kuonyesha kuwa tuko wenye shukrani kwa sababu tuko na Neno la Mungu katika luga yenye tunaweza kuelewa? Habari hizi mbili zitatusaidia kuwa wenye shukrani zaidi juu ya Biblia na kutia nguvu upendo wetu kwa ule mwenye aliiandikisha.
JUMA LA TAREHE 20-26/11/2017
28 ‘Ukuwe Hodari . . . na Utende’
Wakristo wako na lazima ya kuonyesha sifa ya uhodari. Namna gani tunaweza kufaidika na mifano ya watu wa zamani wenye walionyesha sifa hiyo? Namna gani vijana, wazazi, dada wenye kukomaa, na ndugu wenye kubatizwa wanaweza kuonyesha uhodari na kuwa tayari kutenda?