Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 29/01–4/02/2018
JUMA LA TAREHE 5-11/02/2018
Ni matukio gani ya zamani yenye yalisaidia Wakristo wakuwe hakika kuwa kutakuwa ufufuo? Namna gani matukio hayo na uhakika wenye watu wengine waaminifu wa zamani walikuwa nao vinapaswa kutia nguvu tumaini lako? Habari hizi zitatia nguvu imani yako katika ufufuo.
13 Unakumbuka?
JUMA LA TAREHE 12-18/02/2018
18 Wazazi—Musaidie Watoto Wenu Wakuwe na “Hekima kwa Ajili ya Wokovu”
JUMA LA TAREHE 19-25/02/2018
23 Vijana—‘Muendelee Kufanyia Kazi Wokovu Wenu Wenyewe’
Kati ya maelfu ya watu wenye kubatizwa kila mwaka, kuko vijana wenye kuwa kati ya miaka 13 na 19 na wengine wenye wako chini ya miaka hiyo. Ubatizo unafungua mulango wa kupata baraka nyingi sana; lakini unaleta pia daraka fulani. Wazazi, namna gani munaweza kusaidia watoto wenu wafikie muradi wa kubatizwa? Vijana wenye kubatizwa na wale wenye wanapenda kubatizwa, namna gani munaweza kutia nguvu urafiki wenu pamoja na Yehova?
28 Habari Juu ya Maisha ya Watu—Ninaacha Vitu Nyuma ili Kumufuata Bwana
32 Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2017