Habari Zenye Kuwa Ndani
3 Walijitoa Kwa Kujipendea—Katika Myanmar
JUMA LA TAREHE 3-9/09/2018
7 Unatafuta Kukubaliwa na Nani?
Leo, watu wengi wanatafuta kukubaliwa na ulimwengu huu wa Shetani. Habari hii itazungumuzia sababu gani tunapaswa kuhangaikia sana kukubaliwa na Yehova, aina ya kukubaliwa yenye kuwa ya muzuri zaidi. Tutazungumuzia pia namna Yehova anaonyesha kama anakubali watumishi wake waaminifu, wakati fulani katika njia zenye hawakuwazia hata kidogo.
JUMA LA TAREHE 10-16/09/2018
12 Macho Yako Yanaangalia Wapi?
Katika habari hii, tutaona sababu gani Musa, mwanaume muaminifu, alipoteza pendeleo la kuingia katika Inchi ya Ahadi. Pia, tutajifunza mambo yenye yalimufanya Musa atende zambi na namna tunaweza kuepuka kufanya kosa kama lile lenye alifanya.
JUMA LA TAREHE 17-23/09/2018
17 “Ni Nani Iko Upande wa Yehova?”
JUMA LA TAREHE 24-30/09/2018
Wanadamu wote ni wa Yehova, kwa hiyo tunapaswa kuwa washikamanifu kwake. Watu fulani wanasema kama wanamuabudu Yehova, lakini namna yao ya kuishi inaonyesha kama hawaheshimie kanuni zake. Katika habari ya kwanza, tutajifunza mambo mengi ya maana kupitia habari za Biblia juu ya Kaini, Sulemani, Musa, na Haruni. Katika habari yenye kufuata, tutazungumuzia namna tunaweza kumuonyesha Yehova kama tuko wenye shukrani kwa sababu sisi ni watu wake.
27 Onyesha Huruma “Watu wa Namna Zote”
30 Namna ya Kufanya Funzo Lako la Biblia Likuwe Lenye Matokeo na Lenye Kufurahisha Zaidi