Habari zenye kuwa ndani
JUMA LA TAREHE 29/10/2018–4/11/2018
3 “Kama Munajua Mambo Haya, Ninyi Ni Wenye Furaha Ikiwa Munayatenda”
Ujuzi unatuletea faida kama tu tunautumikisha. Lakini, kusudi tufanye vile, tunapaswa kuwa wanyenyekevu. Katika habari hii, tutajifunza namna tunaweza kuiga kwa unyenyekevu mifano ya watu wenye kuzungumuziwa mu Biblia wenye walihubiria watu wa namna zote, walisali kwa ajili ya wengine, na walimungojea Yehova kwa uvumilivu kusudi atende.
8 Wakristo Wenye Kuzeeka—Yehova Anapendezwa Sana na Ushikamanifu Wenu
JUMA LA TAREHE 5-11/11/2018
12 Endelea Kuonyesha Upendo—Upendo Unajenga
Wakati maisha yanakuwa nguvu sana na tunajisikia kuwa wenye kuvunjika moyo, Yehova na Yesu watatusaidia kwa upendo. Sisi wote tunaweza pia kufanya mambo mengi zaidi kusudi tufarijiane na kutiana moyo. Katika habari hii, tutajifunza namna ya kutiana nguvu kupitia upendo.
JUMA LA TAREHE 12-18/11/2018
17 Wenye Furaha Ni Wale Wenye Kumutumikia “Mungu Mwenye Furaha”
Yehova iko “Mungu Mwenye Furaha,” na anapenda watumishi wake wakuwe wenye furaha. Lakini, namna gani tunaweza kuwa wenye furaha hata kama tuko na magumu na matatizo katika ulimwengu wa Shetani? Katika Mahubiri yake ya Mulimani, Yesu alitufundisha namna ya kuwa wenye furaha leo na milele.
JUMA LA TAREHE 19-25/11/2018
23 Ni Mweza-Yote Lakini Anafikiria Wengine
JUMA LA TAREHE 26/11/2018–2/12/2018
28 Umuige Yehova kwa Kufikiria Wengine na Kuwatendea kwa Wema
Leo, watu wanaendelea kujifikiria sana. Lakini, watu wa Yehova hawako vile juu wanapenda kabisa watu. Njia moja yenye wanatumia kusudi waonyeshe upendo wao ni kufikiria wengine. Katika habari hizi mbili, tutaona namna Yehova anatufikiria sisi wote, na tutajifunza namna tunaweza kumuiga.