Habari zenye kuwa ndani
JUMA LA TAREHE 4-10/2/2019
3 “Tutaonana Katika Paradiso!”
Wakristo wa kweli wanangojea kwa hamu kuishi mu Paradiso. Habari hii inazungumuzia juu ya nini tuko na sababu za muzuri zenye kutegemea Biblia zenye kutufanya tuamini kama Paradiso hiyo itakuja na inazungumuzia namna tunapaswa kuelewa ahadi yenye Yesu alitoa juu ya Paradiso.
JUMA LA TAREHE 11-17/2/2019
10 Heshimia “Kile Chenye Mungu Ameunganisha”
Habari hii itazungumuzia mambo yenye Biblia inasema juu ya ndoa. Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunaheshimia ndoa? Na namna gani tunaweza kuunga mukono mambo yenye Biblia inasema juu ya kuvunja ndoa na kutengana?
15 Habari juu ya Maisha ya Watu—‘Yehova Ametutendea kwa Fazili’
JUMA LA TAREHE 18-24/2/2019
19 Vijana, Muumbaji Wenu Anapenda Mukuwe na Furaha
JUMA LA TAREHE 25/2/2019–03/3/2019
24 Vijana, Munaweza Kuwa na Maisha Yenye Furaha
Vijana wako na maamuzi mazito ya kukamata, kutia ndani namna watatumia maisha yao. Watu wanaweza kuwashauria wasome masomo ya juu ao watafute kazi yenye itawafanya wakuwe na feza mingi. Lakini Yehova anashauria vijana wamutie pa nafasi ya kwanza mu maisha yao. Habari hizi mbili zitaonyesha juu ya nini ni jambo la hekima kumusikiliza Mungu.
29 “Mwenye Haki Atashangilia Katika Yehova”
32 Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2018