Mikutano Ya Utumishi Ya Machi
Juma Toka Machi 3
Wimbo 27
Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyochaguliwa ya Huduma Yetu ya Ufalme. Habari za Kitheokrasi.
Dak. 15: “Tushiriki Katika Kazi Ambayo Haitafanywa Kamwe Tena.” Kwa maulizo na majibu. Kulingana na wakati uliopo, toa mawazo fulani kutokana na kitabu Prédicateurs kur. 714-15, “Rester aux aguets: comment?” (Kubaki Macho—Jinsi Gani?)
Dak. 20: “Tutoe Habari Njema, Tukitambua Kwamba Wakati Unasonga Mbele.” (Maf. 1-5) Baada ya kueleza kwa kifupi fungu 1, msimamizi anazungumzia mafungu 2-5 pamoja na wahubiri wawili au watatu. Wanachunguza nukta kubwa za vielelezo vinavyotolewa na wanafasiria kwa nini utoaji huo mbalimbali, au mwingine unaofanana nao, unaweza kuwa wenye matokeo katika eneo. Wahubiri wanatoa vielelezo wakiachiana zamu. Msimamizi anawashukuru, anawatolea mashauri ili kuboresha matokeo yao na anawakumbusha umuhimu wa kusema juu ya michango ya kujipendea. Kisha anauliza wahudhuriaji jinsi tunaweza kufikia mradi wa kuanzisha mafunzo ya Biblia. Kutoa mawazo kamili juu ya namna ya kufikia kuanzisha funzo kwa msaada wa kitabu Ujuzi. Wimbo 34 na sala ya mwiho.
Juma Toka Machi 10
Wimbo 29
Dak. 5: Matangazo. Hali ya akaunti.
Dak. 10: “Tutoe Habari Njema, Tukitambua Kwamba Wakati Unasonga Mbele.” (Maf. 6-8) Tayarisheni onyesho moja la mafungu 6-7. Kazieni umuhimu wa kurudi tena kuwaona wale walioonyesha kupendezwa.
Dak. 30: “Tutafute Mapainia Wasaidizi 100,000.” Kwa maulizi na majibu. Itolewe na mwangalizi wa utumishi. Sema juu ya kisanduku kwenye ukurasa 3. Chunguza matumizi ya wakati yanayopendekezwa kwenye ukurasa 6. Kila mhubiri aliyebatizwa angepaswa kuchunguza kibinafsi na katika sala ikiwa inawezekana kuwa painia mwezi moja, hata zaidi. Wahubiri wasiobatizwa wanaweza kuongeza kushiriki kwao katika huduma kwa kujiwekea mradi kila mwezi katika saa.
Wimbo 43 na sala ya mwisho.
Juma Toka Machi 17
Wimbo 30
Dak. 10: Matangazo. Kazia mawazo yenye kupendeza kutokana na magazeti ya mwisho-mwisho ambayo tutaweza kutumia katika mahubiri juma hili.
Dak. 13: “Ukumbusho—Tukio la Maana Sana.” Kwa maulizo na majibu. Tia akina ndugu na dada moyo kufanya mwezi wa Machi (ambao unakuwa katika tarehe yake ya katikati) kuwa mwezi wa pekee kwa kuwa mapainia wasaidizi na, ikiwezekana, kufanya hivyo tena muda wa miezi ya Aprili na Mei. Sema juu ya matumizi ya karatasi ya mwaliko kwenye Ukumbusho.
Dak. 22: Tuanzishe Mafunzo ya Biblia ya Nyumbani. Miezi hii ya mwisho-mwisho, mamia ya maelfu ya vitabu viliangushwa. Hiyo ndiyo njia ya kuanzisha mafunzo mengi ya Biblia. Chunguza yale yaliyoweza kufanywa katika kutaniko kuhusu kuangusha vitabu na vichapo vingine. Tia wahubiri moyo kurudi tena kuwaona wale wote walioonyesha kupendezwa. Omba wahubiri waseme hasa zaidi juu ya bidii ambayo iliwaomba kufanya ili kuanzisha mafunzo ya Biblia. Kazia kwamba kazi yetu inahusu kwanza kufanya wanafunzi. (Mt. 28:19, 20) Tunaweza kuifanya kwa matokeo ikiwa tunajikaza kutumikisha madokezo ya nyongeza ya Huduma Yetu ya Ufalme ya Julai 1996.
Wimbo 47 na sala ya mwisho.
Juma Toka Machi 24
Wimbo 32
Dak. 18: Matangazo. Toa majina ya mapainia wasaidizi wote kwa miezi ya Aprili na Mei. Sema kwamba haijakuwa kuchelewa ili kujaza ombi. Tia kila mmoja moyo kushiriki kikamilifu katika mahubiri Siku ya Posho Machi 30. Sema juu ya mipango ya ziada iliyochukuliwa mahali penu kuhusu mikutano kwa ajili ya mahubiri. Chunguzeni kwa makini Majibu kwa Maulizo Yenu.
Dak. 12: “Jinsi Gani Kutendea Familia Yetu?” Mazungumzo ya makala kati ya mume na mke wake. Wanaamua namna watakavyosema juu ya habari njema kwa washiriki wa jamaa yao ambao si Mashahidi.—Ona Mnara wa Mlinzi wa Februari 15, 1990, kur. 25-7.
Dak. 15: Kitabu Tutakacho Tolea Mnamo Aprili: Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Sema kwa kifupi juu ya kile kinachotokeza mmomonyoko wa familia katika jamii ya kisasa. (Ona Mnara wa Mlinzi wa Oktoba 15, 1992, kur. 4-7) Chunguza mambo yaliyomo ya kitabu, uku. 3. Tia wasikilizaji moyo kuchagua sura ambazo wangeweza kutumia ili kutolea kitabu. Vutia uangalifu juu ya kisanduku chenye kufaa kwa mafundisho ambacho kinapatikana mwishoni mwa kila sura. Onyesho moja linalofanywa na mhubiri mwenye uwezo juu ya namna ya kutolea kitabu. Sema kwa kila mmoja kutosahau kujipatia vitabu kwa ajili ya mwisho-juma huu.
Wimbo 48 na sala ya mwisho.
Juma Toka Machi 31
Kutaniko litatayarisha programu yalo kulingana na mahitaji ya mahali na kwa kuchunguza utendaji wa mapainia wasaidizi, unaoendelea mpaka Mei.