Matangazo
◼ Hotuba ya pekee ya watu wote kwa ajili ya kipindi cha ukumbusho cha mwaka wa 2015 itatolewa katika juma tokea tarehe 6 Mwezi wa 4. Kichwa cha hotuba hiyo kitajulishwa baadaye. Makutaniko yatakayotembelewa na mwangalizi wa muzunguko juma hilo ao ambayo yatakuwa na mukusanyiko yatafuata hotuba hiyo juma linalofuata. Hakuna kutaniko linaloruhusiwa kutoa hotuba hiyo ya pekee mbele ya tarehe 6 Mwezi wa 4.
◼ Kuanzia Mwezi wa 9, waangalizi wa mizunguko watatoa hotuba ya watu wote yenye kichwa “Namna Gani Hekima Inayotoka Kwa Mungu Inatusaidia?”