Tarehe 14-20/03
AYUBU 1-5
- Wimbo 89 na Sala 
- Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3) 
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
- “Ayubu Aliendelea Kuwa Mushikamanifu Wakati Alijaribiwa”: (Dak. 10) - [Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Ayubu.] 
- Ayu 1:8-11—Shetani alitilia shaka sababu yenye ilimufanya Ayubu akuwe mushikamanifu (w11 15/5 uku. 17 fu. 6-8; w09 15/4 uku. 3 fu. 3-4) 
- Ayu 2:2-5—Shetani alitilia shaka ushikamanifu wa kila mutu (w09 15/4 uku. 4 fu. 6) 
 
- Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8) - Ayu 1:6; 2:1—Ni nani aliruhusiwa kuingia mbele za Yehova? (w06 15/3 uku. 13 fu. 6) 
- Ayu 4:7, 18, 19—Elifazi alisema uongo gani juu ya Ayubu? (w14 15/3 uku. 13 fu. 3; w05 15/9 uku. 26 fu. 4-5; w95 15/2 uku. 27 fu. 5-6) 
- Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova? 
- Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri? 
 
- Usomaji wa Biblia: Ayu 4:1-21 (Isipite dak. 4) 
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
- Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: Habari kubwa yawp16.2—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia. (Isipite dak. 2) 
- Kumurudilia Mutu: Habari kubwa ya wp16.2—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine. (Isipite dak. 4) 
- Funzo la Biblia: fg somo la 2 fu. 2-3 (Isipite dak. 6) 
MAISHA YA MUKRISTO
- Wimbo 88 
- Usikubali Marafiki Wakudanganye!: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video ya jw.org/sw yenye kichwa Usikubali Marafiki Wakudanganye! (Inapatikana kwenye MAFUNDISHO YA BIBLIA > VIJANA.) Kisha, uulize maulizo haya: Watoto wanapambana na majaribu gani kwenye masomo? Namna gani wanaweza kutumia kanuni lenye kuwa katika andiko la Kutoka 23:2? Ni hatua gani ine itawasaidia wasimame imara wakati wanapambana na majaribu makali wakati wanaendelea kuwa washikamanifu? Uwaombe vijana waeleze mambo mazuri yenye walijionea. 
- Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 11 fu. 1-11 (Dak. 30) 
- Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3) 
- Wimbo 149 na Sala