Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 3 uku. 6
  • Tarehe 28/03–03/04

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 28/03–03/04
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 3 uku. 6

Tarehe 28/03–3/04

AYUBU 11-15

  • Wimbo 111 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

TAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Ayubu Aliamini Kabisa Ufufuo”: (Dak. 10)

    • Ayu 14:1, 2—Ayubu alionyesha hali ya maisha ya mwanadamu (w15 1/3 uku. 3; w10 1/5 uku. 5 fu. 2; w08 1/3 uku. 3 fu. 3)

    • Ayu 14:13-15a—Ayubu alijua kwamba Yehova hangemusahau (w15 1/8 uku. 5; w14 1/1 uku. 7 fu. 4; w11 1/3 uku. 22 fu. 2-4)

    • Ayu 14:15b—Yehova anaona watumishi wake waaminifu kuwa watu wa maana sana (w15 1/8 uku. 7 fu. 3; w14 15/6 uku. 14 fu. 12; w11 1/3 uku. 22 fu. 3-6)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ayu 12:12—Sababu gani Wakristo wenye kuzeeka wako na uwezo wa kusaidia vijana Wakristo? (g99 22/7 uku. 11, kisanduku)

    • Ayubu 15:27—Elifazi alitaka kusema nini wakati alisema kwamba Ayubu ‘alifunika uso wake kwa wingi wa mafuta’? (it-1-F uku. 863 fu. 11)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Ayu 14:1-22 (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: fg somo la 13 fu. 1—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia. (Isipite dak. 2)

  • Kumurudilia Mutu: fg somo la 13 fu. 2—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine. (Isipite dak. 4)

  • Funzo la Biblia: fg somo la 13 fu. 3-4 (Isipite dak. 6)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 134

  • Mahitaji ya kutaniko lenu: (Dak. 5)

  • “Zabihu ya Ukombozi Inafanya Ufufuo Uwezekane”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Malizia kwa kuonyesha video yenye ilionyeshwa kwenye Mukusanyiko wa Eneo wa 2014 wenye kichwa “Muendelee Kutafuta Kwanza Ufalme wa Mungu!”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 12 fu. 1-12 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 33 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine