Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 10 uku. 6
  • Tarehe 24-30 Mwezi wa 10

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 24-30 Mwezi wa 10
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 10 uku. 6

Tarehe 24-30/10

METHALI 17-21

  • Wimbo 76 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Endelea Kufanya Amani Pamoja na Wengine”: (Dak. 10)

    • Met 19:11​—Wakati mutu anakuchokoza, ubakie mwenye kutulia (w14 1/12 uku. 12-13)

    • Met 18:13, 17; 21:13​—Hakikisha kama unajua mambo yote (w11 15/8 uku. 30 fu. 11-14)

    • Met 17:9​—Samehe kwa moyo wote wale wenye kukukosea (w11 15/8 uku. 31 fu. 17)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Met 17:5​—Sababu gani tunapaswa kuchagua kwa hekima mambo ya kujifurahisha? (w10 15/11 uku. 6 fu. 17; w10 15/11 uku. 31 fu. 15)

    • Met 20:25​—Namna gani kanuni hii inahusu uchumba na ndoa? (w09 15/5 uku. 15-16 fu. 12-13)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Met 18:14–19:10

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Umualike kwenye mukutano wetu wa mwisho wa juma. (inv)

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) inv​—Malizia kwa kumuonyesha video Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme?

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) lv uku. 57 fu. 14-15​—Saidia mwanafunzi aone faida ya kuvaa na kujipamba kwa kiasi kwenye mikutano.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 77

  • Kufanya Amani Kunaleta Baraka: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Kufanya Amani Kunaleta Baraka. Kisha uulize maulizo haya: Tunapaswa kuepuka nini wakati tunakosa kuelewana na ndugu ao dada fulani? Tunapata baraka gani wakati tunatumikisha Methali 17:9 na Mathayo 5:23, 24?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 2 fu. 35-40, kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako? na michoro “Ufalme wa Mungu Ni Serikali ya Kweli Kabisa” na “Kutayarishwa kwa Ajili ya Kuzaliwa kwa Ufalme”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 144 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine