Tarehe 24-30/10
METHALI 17-21
- Wimbo 76 na Sala 
- Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3) 
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
- “Endelea Kufanya Amani Pamoja na Wengine”: (Dak. 10) - Met 19:11—Wakati mutu anakuchokoza, ubakie mwenye kutulia (w14 1/12 uku. 12-13) 
- Met 18:13, 17; 21:13—Hakikisha kama unajua mambo yote (w11 15/8 uku. 30 fu. 11-14) 
- Met 17:9—Samehe kwa moyo wote wale wenye kukukosea (w11 15/8 uku. 31 fu. 17) 
 
- Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8) - Met 17:5—Sababu gani tunapaswa kuchagua kwa hekima mambo ya kujifurahisha? (w10 15/11 uku. 6 fu. 17; w10 15/11 uku. 31 fu. 15) 
- Met 20:25—Namna gani kanuni hii inahusu uchumba na ndoa? (w09 15/5 uku. 15-16 fu. 12-13) 
- Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova? 
- Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri? 
 
- Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Met 18:14–19:10 
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
- Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Umualike kwenye mukutano wetu wa mwisho wa juma. (inv) 
- Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) inv—Malizia kwa kumuonyesha video Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme? 
- Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) lv uku. 57 fu. 14-15—Saidia mwanafunzi aone faida ya kuvaa na kujipamba kwa kiasi kwenye mikutano. 
MAISHA YA MUKRISTO
- Wimbo 77 
- Kufanya Amani Kunaleta Baraka: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Kufanya Amani Kunaleta Baraka. Kisha uulize maulizo haya: Tunapaswa kuepuka nini wakati tunakosa kuelewana na ndugu ao dada fulani? Tunapata baraka gani wakati tunatumikisha Methali 17:9 na Mathayo 5:23, 24? 
- Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 2 fu. 35-40, kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako? na michoro “Ufalme wa Mungu Ni Serikali ya Kweli Kabisa” na “Kutayarishwa kwa Ajili ya Kuzaliwa kwa Ufalme” 
- Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3) 
- Wimbo 144 na Sala