Tarehe 20-26/02
ISAYA 58-62
- Wimbo 142 na Sala 
- Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3) 
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
- ‘Tangaza Mwaka wa nia Njema wa Yehova’: (Dak. 10) - Isa 61:1, 2—Yesu alichaguliwa ili ‘kutangaza mwaka wa nia njema wa Yehova’ (ip-2 uku. 322 fu. 4) 
- Isa 61:3, 4—Yehova anatoa “miti mikubwa ya uadilifu [haki]” ili kutegemeza kazi yake (ip-2 uku. 326-327 fu. 13-15) 
- Isa 61:5, 6—“Wageni” wanaunga mukono “makuhani wa Yehova” ili kufanya kazi kubwa zaidi ya kutoa ushahidi (w12 15/12 uku. 25 fu. 5-6) 
 
- Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8) - Isa 60:17—Ni katika njia gani Yehova ametimiza ahadi hii katika siku za mwisho? (w15 15/7 uku. 6-8 fu. 14-17) 
- Isa 61:8, 9—‘Agano linalodumu mupaka wakati usio na kipimo’ ni nini, na “uzao” ni nani? (w07 15/1 uku. 11 fu. 5) 
- Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova? 
- Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri 
 
- Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Isa 62:1-12 
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
- Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) g17.1 habari kubwa 
- Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) g17.1 habari kubwa 
- Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bhs uku. 16 fu. 19—Kama inawezekana, mama ajifunze na mutoto yake mwanamuke. 
MAISHA YA MUKRISTO
- Wimbo 47 
- Tumia Video Katika Mahubiri: (Dak. 6) Hotuba. Muangalie video Ufalme wa Mungu Ni Nini? Tia ndugu na dada moyo watumie video hiyo pamoja na vichapo vya kutolea watu katika Mwezi wa 3 na wa 4, wakati wanamutembelea mutu mara ya kwanza ao wakati wanamurudilia. 
- “Tutumie Vichapo Vyetu kwa Hekima”: (Dak. 9) Mazungumuzo. Muangalie video Namna Vichapo Vinapelekwa Katika Maeneo Mbalimbali ya Congo. 
- Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 8 fu. 14-18, na visanduku “Kuharakisha Kazi Ya Kutafsiri Biblia” na “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?” 
- Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3) 
- Wimbo 114 na Sala