Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 5 uku. 2
  • Tarehe 1-7 Mwezi wa 5

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 1-7 Mwezi wa 5
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 5 uku. 2

Tarehe 1-7/05

YEREMIA 32-34

  • Wimbo 138 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Alama Yenye Ilionyesha Kama Waisraeli Watarudishwa Katika Inchi Yao”: (Dak. 10)

    • Yer 32:6-9, 15—Yehova aliongoza Yeremia anunue shamba; hilo lilikuwa alama yenye kuonyesha kama Waisraeli watarudishwa katika inchi yao (it-1 116 par. 1)

    • Yer 32:10-12—Wakati wa kununua shamba, Yeremia alifuata utaratibu wa sheria (w07 15/3 uku. 11 fu. 3)

    • Yer 33:7, 8—Yehova aliahidi ‘kutakasa’ wale walipelekwa katika utumwa (jr uku. 152 fu. 22-23)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 33:15—“Chipukizi” la Daudi ni nani?(jr uku. 173 fu. 10)

    • Yer 33:23, 24—“Familia mbili” zenye kutajwa hapa ndiyo za wapi? (w07 15/3 uku. 11 fu. 4)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 32:1-12

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo yenye kutegemea sehemu “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.” Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa. Uwatie wote moyo watumie muzuri video ya utangulizi wakati wanatolea watu broshua Familia Yenu Inaweza Kuwa na Furaha.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 6

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15) Kama munapenda munaweza kuzungumuzia habari zenye kupatikana katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 uku. 67-71)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 12 fu. 1-8, kisanduku “Alikubali kwa Unyenyekevu Kurekebishwa”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 23 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine