Tarehe 16-22/10
HOSEA 1-7
Wimbo 18 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Unafurahia Upendo Mushikamanifu Kama Yehova?”: (Dak. 10)
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Hosea.]
Hos 6:4, 5—Yehova hakufurahia Waisraeli kwa sababu walikosa upendo mushikamanifu (w10 15/8 uku. 25 fu. 18)
Hos 6:6—Yehova anafurahi wakati tunaonyesha upendo mushikamanifu (w07 15/9 uku. 16 fu. 8; w07 15/6 uku. 27 fu. 7)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Hos 1:7—Nyumba ya Yuda ilionyeshwa rehema na kuokolewa wakati gani? (w07 15/9 uku. 14 fu. 7)
Hos 2:18—Namna gani andiko hili lilitimia zamani; na litatimia namna gani wakati wenye kuja? (w05 15/11 uku. 20 fu. 16; g05 8/9 uku. 12 fu. 2)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Hos 7:1-16
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) 1Yoh 5:3—Fundisha Kweli. Umualike mutu kwenye mikutano.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Kum 30:11-14; Isa 48:17, 18—Fundisha Kweli. Umuongoze mutu kwenye jw.org. (Ona mwb16.08 uku. 8 fu. 2.)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) lv uku. 12-13 fu. 16-18—Onyesha namna ya kugusa moyo wa mwanafunzi.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 124
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15) Hotuba; itolewe na muzee. Tumia habari yenye kupatikana katika Munara wa Mulinzi wa tarehe 15 Mwezi wa 12, 2015, ukurasa wa 15 ili kufanya utangulizi wa dakika tano, kisha muangalie video Namna ya Kutoa Michango Kupitia jw.org. Kisha kuangalia video, onyesha wasikilizaji habari “Namna ya Kutoa Michango kwa Ajili ya Kazi ya Dunia Yote” yenye kuwa kwenye jw.org, kisha rudilia namna ya kutoa michango kupitia jw.org katika eneo lenu.
Funzo la Biblia la Kutaniko (Dak. 30) kr sura ya 20 fungu 1-6, Kisanduku “Programu yetu Kubwa Zaidi ya Kwanza ya Kutolea Ndugu Misaada Katika Siku Zetu” na “Wakati Musiba Unatokea”
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 50 na Sala