Tarehe 19-25/02
MATHAYO 16-17
- Wimbo 45 na Sala 
- Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3) 
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
- “Uko na Mawazo ya Nani?”: (Dak. 10) - Mt 16:21, 22—Petro aliacha mawazo yake ichochewe na namna alijisikia (w07 15/2 uku. 16 fu. 17) 
- Mt 16:23—Petro hakukuwa na mawazo ya Mungu (w15 15/5 uku. 13 fu. 16-17) 
- Mt 16:24—Wakristo wanapaswa kuacha mawazo ya Mungu iongoze maisha yao (w06 1/4 uku. 23 fu. 9) 
 
- Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8) - Mt 16:18—Mwamba kwenye Yesu alijenga kutaniko la Kikristo ni nani? (“Wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu,” “kutaniko” kwa ajili ya funzo Mt 16:18, nwtsty-E) 
- Mt 16:19—“Funguo za Ufalme wa mbinguni” zenye Yesu alimupatia Petro zilikuwa nini? (“funguo za Ufalme wa mbinguni” kwa ajili ya funzo Mt 16:19, nwtsty-E) 
- Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova? 
- Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili? 
 
- Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 16:1-20 
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
- Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Onyesha namna ya kupambana na kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu. 
- Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. 
- Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia. 
MAISHA YA MUKRISTO
- Wimbo 78 
- “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tutumie Muzuri Maulizo”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Fanya Kazi Yenye Yesu Alifanya—Fundisha. 
- Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 9 
- Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3) 
- Wimbo 134 na Sala