Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 4 uku. 4
  • Tarehe 16-22 Mwezi wa 4

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 16-22 Mwezi wa 4
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 4 uku. 4

Tarehe 16-22/04

MARKO 1-2

  • Wimbo 130 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Zambi Zako Zimesamehewa”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Marko.]

    • Mk 2:3-5​—Kwa huruma, Yesu alisamehe zambi za mutu mwenye kupooza (jy uku. 67 fu. 3-5)

    • Mk 2:6-12​—Yesu alionyesha kama alikuwa na mamlaka ya kusamehe zambi kwa kuponyesha mutu mwenye kupooza (“Ni jambo gani lenye kuwa mwepesi zaidi” kwa ajili ya funzo kuhusu Mk 2:9, nwtsty-E)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mk 1:11​—Maneno haya ya Yehova kwa Yesu inamaanisha nini? (“sauti ikatokea mbinguni,” “Wewe ni Mwana wangu,” “Nimekukubali” kwa ajili ya funzo Mk 1:11, nwtsty-E)

    • Mk 2:27, 28​—Sababu gani Yesu alijiita ‘Bwana . . . wa sabato’? (“Bwana . . . wa Sabato” kwa ajili ya funzo Mk 2:28, nwtsty-E)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mk 1:1-15

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Mwenyenyumba anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 44

  • “Sikukuja Kuita Watu Wenye Haki, Lakini Nilikuja Kuita Watenda-zambi”: (Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie video Anapata Tumaini Katika Gereza. Kisha mujibie maulizo haya: Ni nini ilimusaidia Donald apate furaha ya kweli? Wakati tunahubiri, namna gani tunaweza kuiga mufano wa Yesu wa kuepuka kubagua watu?​—Mk 2:17.

  • Yehova Anasamehe “kwa Njia Kubwa”: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muangalie video Yehova, Nitakutia pa Nafasi ya Kwanza. Kisha mujibie maulizo haya: Namna gani Anneliese alimurudilia Yehova, na sababu gani? (Isa 55:6, 7) Namna gani unaweza kutumia mufano wake ili kusaidia wale wenye polepole wameacha kumutumikia Yehova?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 17

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 86 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine