Tarehe 16-22/04
MARKO 1-2
Wimbo 130 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Zambi Zako Zimesamehewa”: (Dak. 10)
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Marko.]
Mk 2:3-5—Kwa huruma, Yesu alisamehe zambi za mutu mwenye kupooza (jy uku. 67 fu. 3-5)
Mk 2:6-12—Yesu alionyesha kama alikuwa na mamlaka ya kusamehe zambi kwa kuponyesha mutu mwenye kupooza (“Ni jambo gani lenye kuwa mwepesi zaidi” kwa ajili ya funzo kuhusu Mk 2:9, nwtsty-E)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mk 1:11—Maneno haya ya Yehova kwa Yesu inamaanisha nini? (“sauti ikatokea mbinguni,” “Wewe ni Mwana wangu,” “Nimekukubali” kwa ajili ya funzo Mk 1:11, nwtsty-E)
Mk 2:27, 28—Sababu gani Yesu alijiita ‘Bwana . . . wa sabato’? (“Bwana . . . wa Sabato” kwa ajili ya funzo Mk 2:28, nwtsty-E)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mk 1:1-15
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Mwenyenyumba anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 44
“Sikukuja Kuita Watu Wenye Haki, Lakini Nilikuja Kuita Watenda-zambi”: (Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie video Anapata Tumaini Katika Gereza. Kisha mujibie maulizo haya: Ni nini ilimusaidia Donald apate furaha ya kweli? Wakati tunahubiri, namna gani tunaweza kuiga mufano wa Yesu wa kuepuka kubagua watu?—Mk 2:17.
Yehova Anasamehe “kwa Njia Kubwa”: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muangalie video Yehova, Nitakutia pa Nafasi ya Kwanza. Kisha mujibie maulizo haya: Namna gani Anneliese alimurudilia Yehova, na sababu gani? (Isa 55:6, 7) Namna gani unaweza kutumia mufano wake ili kusaidia wale wenye polepole wameacha kumutumikia Yehova?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 17
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 86 na Sala