Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 10 uku. 4
  • Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli—Tusikuwe Wachoyo na Wenye Kukasirika Haraka

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli—Tusikuwe Wachoyo na Wenye Kukasirika Haraka
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna ya Kutambua Wakristo wa Kweli
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Unajua Ukweli wa Mambo?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli—Tulinde Umoja Wetu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Upendo—Sifa ya Maana Sana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 10 uku. 4

MAISHA YA MUKRISTO

Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli​—Tusikuwe Wachoyo na Wenye Kukasirika Haraka

SABABU GANI NI LAZIMA: Yesu alifundisha kama upendo ungetambulisha wanafunzi wake. (Yoh 13:34, 35) Ili kuwa na upendo kama wa Yesu, tunapaswa kuhangaikia faida za wengine na kuepuka kukasirika haraka.​—1Ko 13:5.

NAMNA YA KUFANYA:

  • Mutu fulani akisema ao akifanya jambo fulani lenye linakuumiza, tulia kwanza na uchunguze kile kilimuchochea aseme ao atende vile; na ukiamua kumujibia ao kumutendea kwa njia fulani, fikiria pia matokeo.​—Mez 19:11

  • Kumbuka kama hatukamilike, na mara nyingi tunasema ao kufanya mambo yenye tunahuzunikia kisha

  • Maliza matatizo bila kukawia

MUANGALIE VIDEO “MUKUWE NA UPENDO KATI YENU”​—USIKUWE MUCHOYO NA MWENYE KUKASIRIKA HARAKA, KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Larry alitenda namna gani wakati Henry alimuambia wabakie kidogo kisha mukutano?

  • Kuchukuwa wakati wa kufikiri kulisaidia namna gani Henry aepuke mabishano?

  • Jibu la upole la Henry lilisaidia namna gani kutuliza hali?

Kevin, Larry, na Henry

Kama tunaendelea kuwa watulivu wakati wanatuchokoza, kutaniko linapata faida gani?

MUFANO WA BIBLIA WA KUFIKIRIA: Daudi hakumujibia Shimei wakati alimutukana.​—2Sa 16:5-13.

UJIULIZE: ‘Ni katika hali gani ninahitaji kujizuia sana?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine