UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTO 10-13
Yehova Ni Muaminifu
Yehova anaweza kuamua kumaliza jaribu fulani. Lakini, mara mingi anafanyaka “njia ya kutokea” kwa kutupatia mambo yenye tuko nayo lazima juu tuweze kuvumilia ile jaribu.
Anaweza kutuliza akili yetu, moyo wetu, na kututia moyo na kutufariji kupitia Neno lake, roho yake takatifu na chakula cha kiroho chenye anatupatiaka.—Mt 24:45; Yoh 14:16, maelezo ya chini; Ro 15:4
Anaweza kutuongoza kupitia roho takatifu. Ile roho inaweza kutukumbusha habari na kanuni za Biblia juu tukamate maamuzi ya hekima.—Yoh 14:26
Anaweza kutumia malaika juu ya kutusaidia.—Ebr 1:14
Anaweza kutusaidia kupitia waabudu wenzetu.—Kol 4:11