Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 4 uku. 3
  • Yehova Ni Muaminifu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Ni Muaminifu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ushikamanifu kwa Yehova Unaleta Baraka
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Namna Roho Takatifu Inatusaidia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 4 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTO 10-13

Yehova Ni Muaminifu

10:13

Dada anafikiri kuhusu jaribu fulani, anasali kuihusu, na kisha anaenda kuhubiri na dada mwingine

Yehova anaweza kuamua kumaliza jaribu fulani. Lakini, mara mingi anafanyaka “njia ya kutokea” kwa kutupatia mambo yenye tuko nayo lazima juu tuweze kuvumilia ile jaribu.

  • Anaweza kutuliza akili yetu, moyo wetu, na kututia moyo na kutufariji kupitia Neno lake, roho yake takatifu na chakula cha kiroho chenye anatupatiaka.​—Mt 24:45; Yoh 14:16, maelezo ya chini; Ro 15:4

  • Anaweza kutuongoza kupitia roho takatifu. Ile roho inaweza kutukumbusha habari na kanuni za Biblia juu tukamate maamuzi ya hekima.​—Yoh 14:26

  • Anaweza kutumia malaika juu ya kutusaidia.​—Ebr 1:14

  • Anaweza kutusaidia kupitia waabudu wenzetu.​—Kol 4:11

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine