UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAFILIPI 1-4
“Musihangaike Juu ya Jambo Lolote”
Dawa ya mahangaiko ni kusali
Kama tunasali na tuko na imani, Yehova atatupatia amani yenye “kupita uelewaji wote”
Hata wakati tunawaza kama magumu yetu haitaisha, Yehova anaweza kutusaidia tuvumilie. Anaweza hata kufanya mambo yenye hatuwazie.—1Ko 10:13