Tarehe 7-13/10
YAKOBO 3-5
Wimbo 50 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Onyesha Hekima Yenye Kutoka kwa Mungu”: (Dak. 10)
Yak 3:17—Hekima yenye kutoka kwa Mungu iko safi na yenye kufanya amani (cl uku. 221-222 fu. 9-10)
Yak 3:17—Hekima yenye kutoka kwa Mungu ni yenye usawaziko, tayari kutii, na yenye kujaa rehema na matunda ya muzuri (cl uku. 223-224 fu. 12; uku. 224-225 fu. 14-15)
Yak 3:17—Hekima yenye kutoka kwa Mungu haibague na haiko ya kinafiki (cl uku. 226-227 fu. 18-19)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Yak 4:5—Yakobo anarudilia maneno ya andiko gani? (w08 15/11 uku. 20 fu. 6)
Yak 4:11, 12—Namna gani mutu mwenye “anamusema mubaya ndugu” anasema “mubaya juu ya sheria”? (w97 15/11 uku. 20-21 fu. 8)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yak 3:1-18 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Kubadilisha Sauti, na kisha muzungumuzie somo ya 10 ya broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isipite dak. 5) w10 1/9 uku. 23-24—Kichwa: Tunapaswa kuungama zambi zetu kwa nani, na juu ya nini? (th somo ya 14)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 53
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 86 fu. 8-17
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 125 na Sala