Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 11 uku. 6
  • Wale Wenye Kupanda Farasi Ine

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Wale Wenye Kupanda Farasi Ine
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Utangulizi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Namna Wapanda-Farasi Ine Wanakuhusu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Wale Wapanda-Farasi Ine Ni Nani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 11 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 4-6

Wale Wenye Kupanda Farasi Ine

6:2, 4-6, 8

Yesu anapanda farasi mweupe na iko na mushale kwenye mukono wake; wenye kupanda farasi wa rangi ya moto, farasi wa rangi mweusi, na farasi wa rangi ya majivu, wanamufuata

Yesu ‘alienda akishinda’ kwa kupigana na Shetani na pepo wake wachafu kule mbinguni kisha akawatupa ku dunia. Yesu anaendelea kuwashindia watumishi wake kwa kuwasaidia na kuwalinda mu siku hizi za mwisho. ‘Atakamilisha ushindi wake’ kwenye vita ya Armagedoni, wakati atamaliza mwendo wa wale wengine watatu wenye kupanda farasi, na kisha atamaliza mambo ya mubaya yenye wameleta.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine