Tarehe 6-12/1
MWANZO 1-2
Wimbo 11 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yehova Anaumba Uzima Kwenye Dunia”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Mwanzo.]
Mwa 1:3, 4, 6, 9, 11—Siku ya kwanza ya uumbaji mupaka siku ya tatu (it-1 uku. 563 fu. 2-4)
Mwa 1:14, 20, 24, 27—Siku ya ine ya uumbaji mupaka siku ya sita (it-1 uku. 563 fu. 7-10)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 1:1—Biblia inasema kama dunia imeumbwa tangu wakati gani? (w15 1/6 uku. 5)
Mwa 1:26—Yesu alikuwa Muumbaji kama Mungu? (it-2 uku. 16-17)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 1:1-19 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Kuonyesha Wasikilizaji Namna ya Kutumikisha Habari, na kisha muzungumuzie somo ya 13 ya broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isipite dak. 5) w08 1/2 uku. 5—Kichwa: Kujua Kama Tuliumbwa Kunatufanya Tukuwe na Amani ya Akili. (th somo ya 11)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 73
“Unaweza Kueleza Imani Yako?”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Munganga wa Upasuaji wa Mifupa Anaeleza Imani Yake, na video Mutu Mwenye Elimu ya Wanyama Anaeleza Imani Yake.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 98
Maneno ya Kumalizia (Isipite Dak. 3)
Wimbo 18 na Sala