Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 1 uku. 4
  • Tarehe 13-19/1

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 13-19/1
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 1 uku. 4

Tarehe 13-19/1

MWANZO 3-5

  • Wimbo 72 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Matokeo ya Mubaya Sana ya Uongo wa Kwanza”: (Dak. 10 )

    • Mwa 3:1-5​—Ibilisi alimusingizia Mungu (w17.02 uku. 5 fu. 9)

    • Mwa 3:6​—Adamu na Eva hawakumutii Mungu (w00 15/11 uku. 25-26)

    • Mwa 3:15-19​—Mungu alihukumu wale waasi (w12 1/9 uku. 4 fu. 2; w04 1/1 uku. 29 fu. 2; it-1 uku. 672)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 4:23, 24​—Juu ya nini Lameki alitunga hii maneno? (it-2 uku. 105)

    • Mwa 4:26​—Pengine ni katika njia gani watu wenye waliishi wakati wa Enoko walianza “kuitia jina la Yehova”? (it-1 uku. 352)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 4:17–5:8 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Mazungumuzo. Muangalie video, kisha uliza wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Nini njo ulifurahia katika utangulizi? Tunaweza kujifunza nini kutokana na wakati wenye wahubiri walipanga kumurudilia musikilizaji?

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 1)

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo lenu. (th somo ya 3)

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umuachie mutu gazeti fulani la sasa lenye kuzungumuzia habari fulani yenye anapenda kujua. (th somo ya 2)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 63

  • “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo kwa Kutumia Trakte”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie na kuzungumuzia video yenye inaonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo kwa kutumia trakte.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 99

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 85 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine