Tarehe 20-26/1
MWANZO 6-8
Wimbo 89 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ni Vile Alifanya Kabisa”: (Dak. 10)
Mwa 6:9, 13—Noa, mutu mwenye haki, alikuwa anaishi na watu wabaya (w18.02 uku. 4 fu. 4)
Mwa 6:14-16—Mungu alimupatia Noa mugao wenye kuwa nguvu (w13 1/4 uku. 14 fu. 1)
Mwa 6:22—Noa alionyesha kama alimuamini Yehova (w11 15/9 uku. 18 fu. 13)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 7:2—Kwa kweli, njia ya kutofautisha wanyama wenye walikuwa safi na wenye hawakukuwa safi ilitegemea nini? (w04 1/1 uku. 29 fu. 7)
Mwa 7:11—Kwa kweli, maji ya Garika yenye ilifunika dunia yote ilitoka wapi? (w04 1/1 uku. 30 fu. 1)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 6:1-16 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video, kisha uulize wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Namna gani muhubiri alifikiri pamoja na musikilizaji juu ya andiko la 1 Yohana 4:8? Namna gani wahubiri walitumika pamoja ili kutoa ushahidi?
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 12)
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umutolee musikilizaji kichapo fulani chenye kuwa kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia (th somo ya 7)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 31
Ibada ya Familia: Noa—Alitembea na Pamoja na Mungu: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha muzungumuzie maulizo yenye kufuata: Wazazi wenye kuwa mu hii video, walitumia namna gani habari ya Noa ili kufundisha watoto wao mambo fulani ya maana? Ni mambo gani ya muzuri yenye muliona yenye munaweza kutumia katika ibada yenu ya familia?
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 100
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 37 na Sala