Tarehe 11-17/01
MAMBO YA WALAWI 20-21
Wimbo 80 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yehova Anatenga Watu Wake na Mataifa Ingine”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Law 21:5—Juu ya nini Sheria ilikataza kujikata-kata mwili? (it-1-F uku. 1180)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Law 20:1-13 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video ya Kumurudilia Mutu: Sala—1Yo 5:14. Simamisha video fasi yote kwenye inasimama, kisha uliza wasikilizaji maulizo yenye inaonekana mu video.
Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. (th somo ya 6)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 5) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Kisha umutolee musikilizaji broshua Habari Njema, na uanzishe funzo la Biblia katika somo la 12. (th somo ya 19)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 131
“Linda Ndoa Yako”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Tunapaswa “Kukimbia kwa Uvumilivu”—Kimbia kwa Kutii Sheria.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sehemu ya 1, sura ya 3 fu. 1-10, video ya utangulizi, kisanduku 3A
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 94 na Sala