Tarehe 22-28/02
HESABU 5-6
Wimbo 81 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Namna Gani Unaweza Kuiga Wanaziri?”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Hes 6:6, 7—Iliwezekana namna gani Samsoni aguse maiti za watu wenye aliua na abakie tu Munaziri? (w05-SW 15/1 uku. 30 fu. 2)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 5:1-18 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Fanya utangulizi na uzungumuzie video Mashahidi wa Yehova ni watu wa namna gani? (lakini usiionyeshe) (th somo ya 1)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umupatie musikilizaji kichapo kimoja kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 3)
Hotuba: (Dak. 5) w06-SW 15/1 uku. 32—Kichwa: Mambo ya Kushangaza Yenye Ilivumbuliwa Yenye Kuhakikisha Kama Biblia Ni ya Kweli Kulingana na Historia. (th somo ya 13)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 76
“Utapenda Kuwa Painia Musaidizi mu Mwezi wa 3 ao wa 4?”: (Dak. 5) Mazungumuzo.
Kampanye ya Kualika Watu ku Ukumbusho Itaanza Siku ya Posho, Tarehe 27 Mwezi wa 2: (Dak. 10) Patia kila mutu mwaliko, kisha muizungumuzie kwa kifupi. Muangalie video ya namna ya kuanzisha mazungumuzo. Kisha uulize wasikilizaji hii maulizo: Ni wakati gani njo inaomba kuonyesha video Tukumbuke Kifo cha Yesu? Nini njo inaweza kuonyesha kama musikilizaji anapendezwa?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 5 fu. 9-16
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3.)
Wimbo 36 na Sala