Tarehe 17-23/1
WAAMUZI 20-21
Wimbo 47 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Endelea Kumuomba Yehova Akuongoze”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Amu 20:16—Zamani kombeo zilikuwa natumiwa namna gani wakati ya vita? (w14 1/5 uku. 11 fu. 4-6)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Amu 20:1-13 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Jibia kizuia-mazungumuzo yenye watu wanazoea kutumia mu eneo yenu. (th somo ya 5)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Fanya utangulizi wa video Mashahidi wa Yehova Ni Watu wa Namna Gani? (lakini usiionyesha) (th somo ya 17)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lffi somo ya 03 utangulizi na nukta ya 1-3 (th somo ya 4)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 5
“Uumbaji Unafanya Tutumainie Kabisa Hekima ya Yehova”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Kitu Hiki Kilijifanya Chenyewe? Siafu Wanafanyaka Nini juu ya Kuepuka Kusongamana mu Njia? na video Kitu Hiki Kilijifanya Chenyewe? Uwezo wa Nyuki wa Kuruka (fungula sehemu video, kisha fungula sehemu BIBLIA). Tia wasikilizaji moyo waangalie tena habari mbalimbali zenye kuwa ku jw.org mu sehemu “Kitu Hiki Kilijifanya Chenyewe?”, wakati ya ibada yao ya familia.
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) rr sehemu ya 5, sura ya 19 fu. 1-6, video ya utangulizi, kisanduku 19A
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 87 na Sala