Juu ya Nini Tusali?
© 2020 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia mu dunia yote; feza za kusaidia ile kazi iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa. Ili kujua namna ya kutoa muchango wako, tafazali ufungue donate.jw.org. Maandiko inatoka mu Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya yenye inatumia luga ya sasa. Kama andiko linatoka mu tafsiri ingine, ile jambo itaonyeshwa.
GAZETI HILI, Munara wa Mulinzi, linamuheshimia Yehova Mungu, Mutawala wa Ulimwengu wote. Linafariji watu kupitia habari njema ya kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu wenye uko mbinguni utamaliza mambo yote ya mubaya na kugeuza dunia hii kuwa paradiso. Gazeti hili linatia watu moyo wamuamini Yesu Kristo, mwenye alikufa ili tupate uzima wa milele na mwenye sasa ni Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Gazeti hili linachapishwa tangu mwaka wa 1879, na halijiingize mu mambo ya politike. Linategemea mawazo ya Biblia.