Afya ya Akili—Biblia Inaweza Kukusaidia
Na. 1 2023
© 2023 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Hii gazeti haiko ya kuuzisha. Inasaidia kufundisha watu Biblia mu dunia yote. Makuta ya kusaidia ile kazi iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa. Juu ujue namna ya kutoa muchango, tunakuomba ufungule donate.jw.org. Maandiko inatoka mu Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya yenye inatumia luga ya sasa. Kama andiko inatoka mu tafsiri ingine, ile jambo itaonyeshwa.
HII GAZETI, Munara wa Mulinzi, inamuheshimia Yehova Mungu, Mutawala wa Ulimwengu wote. Inafariji watu kupitia habari njema ya kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu, wenye uko mbinguni, utamaliza mambo yote ya mubaya na kugeuza hii dunia kuwa paradiso. Hii gazeti inatia watu moyo wamuamini Yesu Kristo, mwenye alikufa juu tupate uzima wa milele na mwenye sasa ni Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Hii gazeti inachapishwa tangu mwaka wa 1879, na haijiingize mu mambo ya politike. Inategemea mawazo ya Biblia.