Vita Itaishaka?
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Hii gazeti haiko ya kuuzisha. Inasaidia kufundisha batu Biblia mu dunia yote. Makuta ya kusaidia ile kazi iendelee ni michango ya kujipendea yenye batu banatoaka. Juu ujue namna ya kutoa muchango, tunakuomba ufungule donate.jw.org. Maandiko inatoka mu Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya yenye inatumia luga ya sasa. Kama andiko inatoka mu tafsiri ingine, ile jambo itaonyeshwa.
HII GAZETI, Munara wa Mulinzi, inamuheshimisha Yehova Mungu, Mutawala wa ulimwengu wote. Inafariji batu kupitia habari njema ya kama, hivi karibuni Ufalme wa Mungu wenye uko mbinguni utamaliza mambo yote ya mubaya na kugeuza hii dunia kuwa paradiso. Hii gazeti inatia batu moyo bamuamini Yesu Kristo, mwenye alikufa juu tupate uzima wa milele na mwenye sasa ni Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Hii gazeti ilianza kuchapishwa tangu mwaka wa 1879, na haijiingize mu mambo ya politike. Inategemea mawazo ya Biblia.