Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 27/06–3/07/2016
3 Namna ya Kumaliza Kukosana Katika Roho ya Upendo
Kwa sababu hatukamilike, wakati fulani tunaweza kukosana na ndugu na dada zetu. Katika habari hii, tutajifunza kanuni za Biblia zenye zinaweza kutusaidia tumalize kukosana na tuendelee kuwa na amani pamoja na wengine.
JUMA LA TAREHE 4-10/07/2016
9 ‘Muende Mufanye Wanafunzi Kutoka kwa Watu wa Mataifa Yote’
Habari hii itatusaidia kuelewa sababu gani tunasema kama leo, katika dunia yote, ni Mashahidi wa Yehova tu ndio wanatimiza unabii wa Yesu wenye kuwa katika andiko la Mathayo 24:14. Tutajifunza pia maana ya kuwa “wavuvi wa watu.”—Mathayo 4:19.
JUMA LA TAREHE 11-17/07/2016
15 Ni Nini Inakusaidia Kukamata Maamuzi Yako?
Wakati unakamata uamuzi fulani, unafanya tu mambo yenye unawaza kuwa sawa kwako? Ao unauliza wengine mambo yenye unapaswa kufanya? Habari hii inaeleza sababu gani tutakamata maamuzi ya muzuri zaidi ikiwa tunafikiria mawazo ya Yehova._
JUMA LA TAREHE 18-24/07/2016
21 Biblia Inaendelea Kubadilisha Maisha Yako?
Pengine ulifanya mabadiliko makubwa katika maisha yako mbele ya kubatizwa. Lakini unaona sasa kama ni vigumu sana kwako kufanya mabadiliko madogo-madogo ili kumuiga muzuri zaidi Yehova na Yesu? Habari hii inaeleza sababu gani inaweza kuwa vigumu sana kufanya mabadiliko hayo na namna Biblia inaweza kutusaidia.
JUMA LA TAREHE 25-31/07/2016
27 Unapata Faida Kabisa Katika Chakula cha Kiroho Chenye Yehova Anatupatia?
Katika habari hii, tutazungumuzia hatari yenye tunapaswa kuepuka, na tutajifunza namna tunaweza kupata faida katika chakula cha kiroho chenye Yehova anatupatia.