Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 26/09–2/10/2016
3 Ndoa Ilianza Namna Gani na Iko na Kusudi Gani?
JUMA LA TAREHE 3-9/10/2016
9 Namna Mukristo Anaweza Kufanya Ndoa Yake Ikuwe ya Muzuri
Katika habari ya kwanza, tutajifunza namna ndoa ilianza. Tutazungumuzia kanuni za ndoa zenye zilionyeshwa katika Sheria ya Musa na kanuni yenye Yesu aliweka kwa ajili ya ndoa ya Wakristo. Katika habari ya pili, tutazungumuzia mambo yenye Maandiko yanasema juu ya daraka la bibi na bwana.
JUMA LA TAREHE 10-16/10/2016
15 Unaona Lazima ya Kufanya Maendeleo ya Kiroho?
JUMA LA TAREHE 17-23/10/2016
21 Unaona Lazima ya Kuzoeza Wengine?
Tunafurahi kuona kama watu wengi zaidi wanaendelea kukubali habari njema. Na kuko mambo mengi ya kufanya katika kazi ya kuhubiri. Habari hizi mbili zitazungumuzia mabadiliko yenye tunaweza kufanya katika maisha yetu ili tufanye maendeleo ya kiroho na tutumikie Yehova muzuri zaidi. Zitazungumuzia pia namna tunaweza kuzoeza wengine, zaidi sana wanafunzi wetu wa Biblia.
27 Habari Juu ya Maisha ya Watu Namna Nilipata Furaha ya Kutoa