- Habari za Kufanana na Zile
 
                        
                                        
                 
			         
     
	    
            
			        
        
			
	
YOSHUA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
 1 
 
 2 
Yoshua anatuma wapelelezi wawili Yeriko (1-3)
 
Rahabu anaficha wapelelezi (4-7)
 
Rahabu anapewa ahadi (8-21a)
 
Wapelelezi wanarudia kwa Yoshua (21b-24)
 
 
 3 
 
 4 
 
 5 
Waisraeli wanatahiriwa kule Gilgali (1-9)
 
Sikukuu ya Pasaka; mana inaacha kuanguka (10-12)
 
Mukubwa wa jeshi la Yehova (13-15)
 
 
 6 
 
 7 
Israeli wanashindwa kule Ai (1-5)
 
Sala ya Yoshua (6-9)
 
Zambi inafanya Israeli washindwe (10-15)
 
Zambi ya Akani inafunuliwa na Akani anapigwa majiwe (16-26)
 
 
 8 
Yoshua anaweka watu wa kuvizia Ai (1-13)
 
Muji wa Ai unakamatwa (14-29)
 
Sheria inasomwa kwenye Mulima Ebali (30-35)
 
 
 9 
Wagibeoni wajanja wanatafuta amani (1-15)
 
Ujanja wa Wagibeoni unafunuliwa (16-21)
 
Wagibeoni wanakuwa watumwa wa kukusanya kuni na kushota maji (22-27)
 
 
10 
Israeli wanasaidia Wagibeoni (1-7)
 
Yehova anapigania Israeli (8-15)
 
Wafalme tano wenye kushambulia wanauawa (16-28)
 
Miji ya eneo la kusini inakamatwa (29-43)
 
 
11 
 
12 
 
13 
Maeneo yenye hayajakamatwa (1-7)
 
Kugawanywa kwa maeneo ya mashariki mwa Yordani (8-14)
 
Uriti wa Warubeni (15-23)
 
Uriti wa Wagadi (24-28)
 
Uriti wa kabila la Manase upande wa mashariki (29-32)
 
Yehova ndiye uriti wa Walawi (33)
 
 
14 
 
15 
 
16 
 
17 
 
18 
 
19 
Uriti wa kabila la Simeoni (1-9)
 
Uriti wa kabila la Zabuloni (10-16)
 
Uriti wa kabila la Isakari (17-23)
 
Uriti wa kabila la Asheri (24-31)
 
Uriti wa kabila la Naftali (32-39)
 
Uriti wa kabila la Dani (40-48)
 
Uriti wa Yoshua (49-51)
 
 
20 
 
21 
 
22 
Makabila ya mashariki yanarudia kwao (1-8)
 
Mazabahu inajengwa karibu na Yordani (9-12)
 
Kusudi la mazabahu linaelezwa (13-29)
 
Hali ya kukosa kuelewana inaisha (30-34)
 
 
23 
 
24 
Yoshua anakumbusha Israeli historia yao (1-13)
 
Anatia watu moyo wamutumikie Yehova (14-24)
 
Yoshua anafanya agano na Israeli (25-28)
 
Yoshua anakufa na anazikwa (29-31)
 
Mifupa ya Yosefu inazikwa Shekemu (32)
 
Eleazari anakufa na anazikwa (33)