Somo 3
Rafiki ya Kalebu ni mugonjwa.
Basi, Kalebu anasema, nitafanya hivi:
“Nitamuandikia barua ili akuwe na furaha, kisha nitamupelekea barua hiyo!”
Kuonyesha rafiki yako wema, kutawafanya ninyi wawili mukuwe na furaha!
MAZOEZI
Umusomee mutoto wako:
Umuombe aonyeshe:
Nyumba Meza Kalebu
Jua Ndege Muti
Umuulize mutoto wako:
Unajua mutu fulani ambaye ni mugonjwa? Tunaweza kufanya nini ili akuwe na furaha?
[Picha katika ukurasa wa 8]
[Picha katika ukurasa wa 8]
[Picha katika ukurasa wa 9]
[Picha katika ukurasa wa 9]