Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 34
  • Nitatembea kwa Uaminifu-Mushikamanifu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Nitatembea kwa Uaminifu-Mushikamanifu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Endelea Kuwa Muaminifu-Mushikamanifu!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Furaha Yetu ya Milele Inatoka kwa Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tafazali, Sikia Sala Yangu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuko na Shukrani Juu ya Bei ya Ukombozi
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 34

WIMBO 34

Nitatembea kwa Uaminifu-Mushikamanifu

Maandishi

(Zaburi 26)

  1. 1. Tafazali, Yah, unihukumu;

    Na uone kama niko mwaminifu.

    Nichunguze na unijaribu;

    Nisafishe moyo na unibariki.

    (REFREE)

    Sitaacha hata kutembea kwa

    uaminifu-mushikamanifu.

  2. 2. Na sifanye hata urafiki na

    wadanganyifu, na watu wabaya.

    Tafazali, usiniharibu pamoja

    na wenye kupenda jeuri.

    (REFREE)

    Sitaacha hata kutembea kwa

    uaminifu-mushikamanifu.

  3. 3. Ninapenda sana nyumba yako.

    Nitakuabudu na nitakusifu.

    Nizunguke mazabahu yako,

    Wote wasikie ninakushukuru.

    (REFREE)

    Sitaacha hata kutembea kwa

    uaminifu-mushikamanifu.

(Ona pia Zb. 25:2.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine