Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 51
  • Ninajitoa kwa Mungu!

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ninajitoa kwa Mungu!
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Sema Vile Unajisikiaka
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Acha Kweli Ikuongoze
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tafazali, Sikia Sala Yangu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 51

WIMBO 51

Ninajitoa kwa Mungu!

Maandishi

(Matayo 16:24)

  1. 1. Mungu njo aliniongoza kwa Yesu,

    Ili nijifunze Biblia.

    Niliamini mambo

    Yenye nilijifunza.

    Sasa ninaamua

    Kutumikia Mungu.

    (REFREE)

    Miye peke najitoa kwa Yehova.

    Kweli niko na furaha sana.

  2. 2. Mu sala nilimuambia Yehova

    Kama nitamutumikia.

    Ninafurahi sana

    Kubeba jina yake,

    Na kuhubiri sana

    Habari ya Ufalme.

    (REFREE)

    Miye peke najitoa kwa Yehova.

    Kweli niko na furaha sana.

(Ona pia Zb. 43:3; 107:22; Yoh. 6:44.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine