Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 78
  • ‘Kufundisha Neno ya Mungu’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Kufundisha Neno ya Mungu’
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuwafundishe Wengine Wampende Yehova
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
  • Kujitayarisha juu ya Kuhubiri
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ulimutoa Mwana Wako Mupendwa
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 78

WIMBO 78

‘Kufundisha Neno ya Mungu’

Maandishi

(Matendo 18:11)

  1. 1. Wakati tunafundisha

    Neno ya Yehova,

    Anatubariki sana.

    Tuko na furaha.

    Tunajikaza kuiga

    Upendo wa Kristo,

    Wakati tunafundisha

    Watu kuhusu Mungu.

  2. 2. Siye wenye kufundisha

    Tunatii Mungu,

    Ili kwa matendo yetu

    Watu wamusifu.

    Tunaipenda Biblia

    na tunaisoma,

    Ili tuielewe

    Na kufundisha wengine.

  3. 3. Wakati tunafundisha,

    Tumuombe Mungu

    Atupatie hekima

    Na atuongoze.

    Tunapenda watu wote

    Na kuwafundisha,

    Ili nao pia

    Wafundishe watu wengine.

(Ona pia Zb. 119:97; 2 Ti. 4:2; Tit. 2:7; 1 Yo. 5:14.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine