Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 107
  • Tuonyeshe Upendo Kama Mungu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuonyeshe Upendo Kama Mungu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Upendo—Sifa ya Maana Sana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Usiache Upendo Wako Upoe
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Namna Tunaweza Kuendelea Kupendana Sana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • “Mungu Ni Upendo”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 107

WIMBO 107

Tuonyeshe Upendo Kama Mungu

Maandishi

(1 Yohana 4:19)

  1. 1. Yehova Mungu alituwekea

    Mufano muzuri.

    Alionyesha upendo mukubwa

    Kwa kutoa Yesu Kristo,

    Ili akuye kufunika zambi,

    Tukombolewe mu magumu yetu.

    Upendo wake ni mukubwa sana

    Mungu wetu ni wa ajabu.

  2. 2. Kama Yehova, tukuwe tayari

    Kupenda wengine.

    Tuwaonyeshe upendo wa kweli,

    Na tukuwe na umoja.

    Hatutasema tunapenda Mungu,

    Lakini tuko tunachukiana.

    Kwa hiyo basi, tuhurumiane.

    Tupendane kwa moyo wote.

  3. 3. Tuko katika familia moja

    ya Mungu wa kweli.

    Tuko tayari kusaidiana

    Mu wakati wa magumu.

    Umoja wetu unategemea

    Neno ya Mungu pia roho yake.

    Basi tupende ndugu zetu wote

    Mu maisha ya kila siku.

(Ona pia Ro. 12:10; Efe. 4:3; 2 Pe. 1:7.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine