WIMBO 121
Tukomalishe Sifa ya Kujizuia
Maandishi
1. Tunamupenda sana Yehova.
Lakini tuko tu watenda-zambi;
Ni lazima tujizuie,
Kusudi tusifanye zambi.
2. Shetani iko natujaribu,
Tena zambi iko natutawala.
Lakini kwa nguvu ya Mungu,
Tutaweza kujizuia.
3. Kwa maneno na matendo yetu,
Tumupatie Mungu utukufu.
Basi tujikaze kabisa
Kujizuia kila siku.
(Ona pia 1 Ko. 9:25; Gal. 5:23; 2 Pe. 1:6.)