Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 121
  • Tukomalishe Sifa ya Kujizuia

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tukomalishe Sifa ya Kujizuia
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kujizuia Ni Sifa ya Maana Sana ili Kukubaliwa na Yehova
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Komalisha Sifa ya Kujizuia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 121

WIMBO 121

Tukomalishe Sifa ya Kujizuia

Maandishi

(Waroma 7:14-25)

  1. 1. Tunamupenda sana Yehova.

    Lakini tuko tu watenda-zambi;

    Ni lazima tujizuie,

    Kusudi tusifanye zambi.

  2. 2. Shetani iko natujaribu,

    Tena zambi iko natutawala.

    Lakini kwa nguvu ya Mungu,

    Tutaweza kujizuia.

  3. 3. Kwa maneno na matendo yetu,

    Tumupatie Mungu utukufu.

    Basi tujikaze kabisa

    Kujizuia kila siku.

(Ona pia 1 Ko. 9:25; Gal. 5:23; 2 Pe. 1:6.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine