WIMBO 122
Tukuwe na Nguvu na Tusitikisike!
Maandishi
1. Mambo ya wakati wenye kuya,
Inaogopesha sana watu.
Lakini siye tuko na nguvu;
Tuko waaminifu.
(REFREE)
Kwa hiyo, tuepuke
Matendo ya mubaya.
Tukuwe na nguvu.
Tusitikisike.
2. Tutavumilia majaribu
Tukifanya mambo ya muzuri.
Hata kama inaongezeka
Hatutatikisika.
(REFREE)
Kwa hiyo, tuepuke
Matendo ya mubaya.
Tukuwe na nguvu.
Tusitikisike.
3. Basi tumutumikie Mungu
Kwa moyo wote na nguvu yote.
Tufanye kazi ya kuhubiri
Bila hata kuacha.
(REFREE)
Kwa hiyo, tuepuke
Matendo ya mubaya.
Tukuwe na nguvu.
Tusitikisike.