SEHEMU YA TATU
‘Nitawakusanya Pamoja’—Ahadi ya Kurudishwa kwa Ibada Safi
WAZO KUBWA: Maunabii ya Ezekieli inaonyesha kurudishwa kwa ibada safi
Israeli amegawanyika, uasi-imani umevunja umoja wake. Anaendelea kuteseka kwa sababu ya matendo yake; alichafua ibada safi na kuzarau jina la Mungu. Mu hali hii ya kukosa tumaini, Yehova anatuma Ezekieli juu atoe maunabii yenye kuleta tumaini. Kwa kutumia maneno ya mufano yenye kuchochea na maono ya kushangaza, Yehova anatia moyo Waisraeli wahamishwa na pia watu wote wenye wanachunga kwa hamu kuona ibada safi inarudishwa.