KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 7A
Mataifa Yenye Kuzunguka Yerusalemu
650 hivi-300 M.K.Y.
MUCHORO WA MATUKIO (MIAKA YOTE M.K.Y.)
620: Babiloni inaanza kutawala Yerusalemu
Nebukadneza anafanya mufalme wa Yerusalemu kuwa mutawala mudogo
617: Babiloni inachukua watekwa wa kwanza kutoka Yerusalemu
Watawala, wapiganaji-vita wenye nguvu, na mafundi wanapelekwa Babiloni
607: Babiloni inaharibu Yerusalemu
Muji na hekalu lake vinateketezwa
Kisha 607: Tiro, yenye ilikuwa ku inchi kavu
Nebukadneza anashambulia Tiro mu miaka 13. Anashinda Tiro yenye ilikuwa ku inchi kavu, lakini muji wenye ulikuwa kisiwa unabakia
602: Amoni na Moabu
Nebukadneza anavamia Amoni na Moabu
588: Babiloni inashinda Misri
Mwaka wa 37 wa utawala wake, Nebukadneza anashambulia Misri
332: Tiro, muji wenye ulikuwa kisiwa
Jeshi la Ugiriki, lenye kuongozwa na Aleksanda Mukubwa, linaharibu muji wa Tiro wenye ulikuwa kisiwa
332 ao mbele ya pale: Ufilisti
Aleksanda anashinda Gaza, muji mukubwa wa Wafilisti
Fasi Kwenye Inapitikana ku Karte
UGIRIKI
BAHARI KUBWA
(BAHARI YA MEDITERANIA)
TIRO
Sidoni
Tiro
Samaria
Yerusalemu
Gaza
UFILISTI
MISRI
BABILONI
AMONI
MOABU
EDOMU