KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 11A
Walinzi Fulani Wenye Ni Mufano Muzuri
Maandishi
Walinzi wenye kutajwa hapa chini walipata upinzani, lakini walibakia waaminifu, na walitangaza maonyo na habari njema.
ISRAELI YA ZAMANI
Isaya 778–732 hivi M.K.Y.
Yeremia 647-580 M.K.Y.
Ezekieli 613–591 hivi M.K.Y.
KARNE YA KWANZA
Yohana Mubatizaji 29-32 K.K.Y.
Yesu 29-33 K.K.Y.
Paulo 34 hivi–65 hivi K.K.Y.
WAKATI WETU
C. T. Russell na Wenzake 1879 hivi-1919
Mutumwa Muaminifu 1919–Leo